a
1Kor 5:6
Luke 13:20-21
Mfano Wa Chachu
(
Mathayo 13:33
)
20
Yesu akauliza tena,
“Nitaufananisha Ufalme wa Mungu na nini?
21
a
Unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Copyright information for
SwhNEN